.

Njia Iendayo Kwenye Mafanikio Ni Nyembamba...!


 
Na: Paul Masatu.  Dar 

Success is a journey not destination, mafanikio ni mchakato unapitia, nivizuri kuyatazama mafanikio katika namna hii, hii ni rough  road ambayo  utakutana na vikwazo vingi ukiwa njiani " Njia iendayo uzimani ni nyembamba, na wapitao humo ni wachache".
Kwahiyo kufikia mafanikio lazima ujue kuna what we call a " price tag" kuna gharama lazima ulipe ili kufikia mafanikio yako,  kuijua ni gharama gani unatakiwa kulipa, na (SOMA ZAIDI)
utayari wako wa kuilipa hiyo gharama vinakupa nafasi nzuri zaidi ya kufanikiwa.
Bahati mbaya kizazi tulicho nacho ni kizazi cha miujiza, kinapenda mambo yatokee ghafla tu from no where, waswahili wanaita "ghafla bin vuu" hakitaki kabisa kulipa ghalama, mtu anataka alale akiamka tu akute matatizo yake ya fedha yamekisha, si ajabu katika kipindi chetu hiki biashara ya utapeli unalipa sana, matapeli wameongezeka sana, ni rahisi kutapeli watu kwasababu watu hawataki kulipa gharama.
Utakuta mtu imemchukua miaka kumi kutengeneza matatizo yake ya kifedha au ya ndoa yake aliyo nayo sasa hivi, lakini cha ajabu anataka hayo matatizo yaishe by overnight, hiki nikituko cha ajabu.
Kuna tabia mbili kubwa ambazo utaziona kwa watu wasiyo taka kulipa gharama ambao mimi nasema hawa qualify kufanikiwa. Tabia hizo ni
a) wanapenda sana  "Instant gratification"  yaana wao maisha ni sasa tu, hawaangalii kesho, wako tayari kuharibu hatima yao kwa raha za muda, hawako tayari kuvumilia maumivu kidogo ili waweze kutengeneza kesho bora zaidi, hawa wamesahau ule msemo wa kingereza unaosema " No gain without pain"
b) Tabia ya pili ambayo ni most common kwa unsuccessful people wengi wanakuwa na short term vision" yaani hawaoni mbali kabisa, wao maisha ni sasa hivi tu, wanashindwa kujizuia kwasababu wanashindwa kupiga picha na kuona, hiki ninachofanya sasa hivi madhara yake ndani ya mwezi, au mwaka au miaka mitano itakuwaje??
Lakini vile vile utafiti unaendelea na kugundua sifa mbili kubwa ambazo zinapatikina kwa watu wengi waliyo fanikiwa. Sifa hizo ni
a) Delayed gratification
Yaani wako tayari kujizuia mambo fulani, kwa ajili ya faida yakesho, kwa maneno mengine yuko tayari kulipa gharama, yuko tayari kuvumilia kwa kujitoa kukomalia jambo fulani, hata kama kuna some pain, ilimradi afanikishe lengo lake, yuko tayari kujizuia mambo mambo fulani yanayo mchukulia hela sana, ilimradi aweze ku save na kufanikisha lengo lake.
...... Nitaendelea

 
Previous
Next Post »