Maandalizi Ya Kilimo Cha Parachichi (2016). Not long ago my wife Rose Ambali
said, " It's good to be something you feel in your heart. That's where
it all begins. She said, you won't complain so much about work, because
it will be something you enjoy no matter what. Sasa Leo nilienda sokoni
kwa mama muuza Parachichi, nikamuomba Parachichi zilizo haribika,
kwanza alinishangaa.
Akaniuliza "Mwanangu mbona yameoza? Nikamwambia
hayo yaliyooza ndiyo ninayataka, akanipatia bure. Nimefika
nyumbani nikaanza kazi ya kuyamenya na kuyasafisha. Wakati ninaendelea
kusafisha hizi mbegu za (SOMAZAIDI)
parachichi, nikamkumbuka mama, mentor wangu na mjasiriamali Haika Lawere aliyewahi kuniambia kwamba ' Ukitaka kutoka sehemu moja hadi nyingine kijasiriamali badilika, tenda zaidi ya unavyoongea'....!
parachichi, nikamkumbuka mama, mentor wangu na mjasiriamali Haika Lawere aliyewahi kuniambia kwamba ' Ukitaka kutoka sehemu moja hadi nyingine kijasiriamali badilika, tenda zaidi ya unavyoongea'....!
Kuna vitu
unavifanya bila kutumia pesa nyingi, mfano hizo mbegu za Parachichi
nimepewa bure labda nauli ya daladala kutoka nyumbani shilingi mia 4 na
kurudi mia 4. Hizo mbegu nitazipeleka shambani, kila mti wa Parachichi
utaniletea pesa miaka michache ijayo. Zaidi ya hapo, miche itakayo zidi
nitaiuza, kwa wakulima wenzangu watakao hitaji. Mche wa kawaida wa
Parachichi huuzwa shilingi mia saba hadi elfu moja kwa Iringa.
Lakini
Nikizifanyia " Bading" Nitauza kwa shilingi elfu 3. Mtaalamu wa kufanya
hiyo kazi yupo Ndugu Nicolaus Kulanga
. Hii ni pesa na ni ajira kamili kwangu. Kumbuka nimeokota sokoni.
Miparachichi ikifanyiwa Bading huanza kutoa matunda baada ya miaka
mitatu hadi miaka minne. I wish I could tell you that the rest is
history.
Tanzania is a great country; the harder you work, the luckier
you get. Na kama alivyo niambia Mkulima mwenzangu Hadija Jabiry
(Mama B' Ministry)kwa msisitizo kwamba soma Yoshua 1: 9 ' Je si Mimi
niliyekuamuru? Uwe hodari na Moyo wa ushujaa; usiogope wala
usifadhaike'... Na uchaguzi unabakia mikononi mwangu, Kuwa hodari na
Moyo wa ushujaa ama kufadhaika. The cost of continuing to not get this
knowledge is up to you. Nobody else. Go big or go home and watch Tv.
Sign up here with your email