.

Ungependa Kumtembelea Mkulima Maarufu Wa Kilimo Cha Miti Mufundi?...Rich Dad Wangu?


Na : Meshack Maganga - Mafinga.
 
Makundi mbali mbali ya wakulima na wajasiriamali wa Kilimo, wamekuwa wakinipigia simu na
kunitumia meseji wakiniomba niwapeleke kwa Rich Dad wangu wa Mafinga. Jana hii niliwapeleka wakulima watano, mmoja kutoka Mtwara na wengine kutoka Iringa Mjini. No matter where you go, you're still you. Great man and woman don't always start out great.
Previous
Next Post »