.

Uendelezaji Wa Misitu Tanzania..!


Na: Meshack Maganga- Iringa.

Uendelezaji wa misitu Tanzania. Kuna uhusiano mkubwa kati ya binadam, viumbe vingine na misitu. Kwenye misitu tunapata
Mbao, nguzo, dawa asilia, chakula, hewa safi, makazi, kuni, asali nk. Kingine ni uwekezaji wa muda mrefu na mfupi Kwenye miti.

 Nimebahatika kuhudhuria mafunzo ya bila malipo jinsi ya kutunza shamba la Miti ya nguzo na Mbao. You don't need to be lucky to make money. Remember, a car can be supplied and gassed up to the max, but it still won't go anywhere if someone doesn't start the engine and press the accelerator. The choice is up to you nobody else. Go big or go home.





Previous
Next Post »